Mahabuba lyrics

Songs   2024-07-02 09:28:16

Mahabuba lyrics

Mshukuru Mola manani

Alokulete duniani

Na pia washukuru wazazi

Walivyokulea

Wako wengi walokutamani

Wasotaka kukuoa

Lakini ukajitenga kimwari

Nazo fikira hukutekwa

Mambo mengi walishaongea

Eti wewe hunifai

Na majina wakakupatia

Eti kicheche mtaa

Kwani mimi ndo naye tambua

Kwangu beiby we ni nani

Maneno yao hayatatutishia

Kwangu beiby umefika

Wewe ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

We ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

We ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

We ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

Nakupenda sana

Mashallah umeumbwa tena ukaumbika

Sura yenye kung'ara umbo nayo wapendeza

Na mapenzi wayajua kupeti peti mama

Manukato yakilowa, wanukia mama

Kwa kweli nimepata

Mapenzi ya asali

Siishi kujilamba

Mwangu kingajani

Na wala kwako sitatoka, nitatulia wangu mama

Unimbembeleze, unidekeze

Na wala kwako sitatoka, nitatulia wangu mama

Unimbembeleze

Wewe ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

We ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

We ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

We ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

Nakupenda sana

Wacha waseme ni wewe

Moyo umechagua mwenyewe

Wacha waseme ni wewe

Hao wacha wawe legelege

Wacha waseme ni wewe

Moyo unachagua mwenyewe

Wacha waseme ni wewe

Hao wacha wawe legelege

Wewe ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

We ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

We ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

We ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

Nakupenda sana

Wewe ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

We ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

We ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

We ni wangu, mahabu mahabu mahabuba

Nakupenda sana

See more
Masauti more
  • country:Kenya
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Masauti Lyrics more
Masauti Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved