Kiboko [Remix] lyrics

Songs   2024-07-02 08:49:49

Kiboko [Remix] lyrics

Masauti, Kenyan boy

Khaligraph Jones its going down

Yaaani toto kiboko

Yaaani toto kiboko

Yaaani toto kiboko

Eeey, napenda venye unavyodunda

Ukitembea unafanya nikutake take

Kweli Mola kakuumba, unateketea

Vile uko lit lazima nikukate

Sijui ka uko na copy (eeh)

Ya mimi ni nani?

Mitaani waniita OG

Unataka vipi Atoti?

Iko vipi?

Kwani we ni mgeni hapa Nairobi?

Na jinsi anavyo ligidi ligidi

Kana kwamba anaifanya ka digiri ana digiri

Ukichikidi chikidi, ana digidi digidi

Mashore wengine sai ni TBT, TBT (sareee)

Mtoto kiboko

Eeh ahh kiboko

Huyu mtoto

Kiboko kiboko yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani Kiboko

Nitadunga suti na tai

Nimfwate nimnong'oneze

Nimwambie ye ndo nadai

Ananipa mi mawenge

(hello Shawty)

Toto la kinai, roho body

Uswazi kote ye ndo ametawala

Sioni noma yaani mbona soul body

Akinipa sikatai mimi nakwala

Figure kama mjaka

Yaani balaa nyuma vigirigi

Kwa shanga kiunoni nasimama

Wima, mpaka alfajiri

Figure kama mjaka

Yaani balaa nyuma vigirigi

Kwa shanga kiunoni nasimama

Wima, mpaka alfajiri

Mtoto high class

Nywele singa singa, kimahaga (ni mkare)

Yaani working class bila kusita nang'oa nanga

Yaani mtoto high class

Nywele singa singa, kimahaga (ni mkare)

Yaani working class bila kusita nang'oa nanga (si usaree)

Mtoto kiboko

Eeh ahh kiboko

Huu mtoto kiboko, kiboko yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Check it eey, ju already tusha nokiana

Lenga huyo boy ata moti hana

We ni kiboko tunaeza sosiana

So go ahead and bust it down thotiana

Ey we ndo kiboko

Kuja international toka local

Am the hottest rapper right now kwa soko

And rich too, bad boy si msoto

Haha, oooh lord you entice me

And me backing down so unlikely

No sidechiq I'll make you my wifey

Masauti vipi? they can't do it like we

Unavyo Katika, Shiro

Nyuma ulivyoshona Doro

Nikikupata kwa godoro

(Hhmm weeh kibokooo...)

Unavyo Katika, Shiro

Nyuma ulivyoshona Doro

Nikikupata kwa godoro

(Hhmm mama kibokooo...)

Ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani kiboko

Sijamuona kama ye! Ye! Ye! Yaani Kiboko

See more
Masauti more
  • country:Kenya
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Masauti Lyrics more
Masauti Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved