Una lyrics

  2024-09-19 14:40:59

Una lyrics

(RoofTop audio station)

Na anajiamini

Halali nje analala na mimi

Ndani ndani

Wengine wa nini, yeiye

Anadata anavyopewa na mimi

Chumbani chumbani

Una (una una)

Unanichanganya (una una)

Unavyonifanya (una una)

Unanichanganya sana

Tena ukinigusaga

Na kunipazaga

Unanichanganya sana

Ukinigusa napagawa kote

Unanichanganya unavyonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote

Unanichanganya unavyonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote

Unanichanganya unavyonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote

Unanichanganya unanichanganya

Weka niweke wee

Weka niweke wee

Weka niweke wee

Weka niweke wee

Hata kama nitakosea usininunie beiby

Niambie

Bana si unajua mwanadamu

Niambie

Na unavyoninogesha ukija kuacha

Mwenzako nitajutia

Utanitoa roho, utanitoa roho

Habari za mjini kwani nini wee

Natoka na mimi kwani nini wee

Mchezo mchezo na baby wa mimi wee

Tulipotoka wanajua ni nini wee

Sema ukweli nishampata, nishamnasa

Alafu sasa na kwenye bedi mtamu haswa

Chuma mimi ila sumaku ishamnasa

Pelekeni angaza huo wenu ushauri na sasa

Anavyozungusha hicho kiuno

Mimi ndo nazidisha miguno

Wanapataka sasa unavyowapatia michuno

Kwani hawapati usingizi wakisikia miguno

Una (una una)

Unanichanganya (una una)

Unavyonifanya (una una)

Unanichanganya sana

Tena ukinigusaga

Na kunipazaga

Unanichanganya sana

Ukinigusa napagawa kote

Unanichanganya unavyonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote

Unanichanganya unavyonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote

Unanichanganya unavyonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote

Unanichanganya unanichanganya

Weka niweke wee

Weka niweke wee

Weka niweke wee

Weka niweke wee

Umenishika pabaya

Umenishika pabaya (oooh yeah babe)

Umenishika pabaya

We bwana ni mbaya

Umenishika pabaya

Umenishika pabaya (aaah aah)

Umenishika pabaya

We dada ni mbaya

Una una, una una

Una una, una una

See more
Mimi Mars more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Mimi Mars Lyrics more
Excellent recommendation
Popular
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved