Niteke lyrics

  2024-06-30 12:05:23

Niteke lyrics

Konde Boy!

I want to keep you, I no got let you

Nishafunga na zipu, kwingine nishasema no

Acha nikusifu, uzuri wa nyumba choo

Naulivyo nadhifu, sipati vidonda vya koo

If you leave me I go die

I go die my baby

Na ukinipenda nitajidai

Nitajidai my baby

Oooh, nakoma na zako

Kachiri kachiri, ukibinuka binuka

Eeeh, kivumbi na jasho

Wawili wawili, kwenye mashuka mashuka

Asa baby, niite (uniteke, unitekenye)

Nicheke kama mtoto (uniteke, aaah baby nitekenye)

Apo ndo penye (uniteke, unitekenye)

Ninenepe kama mpoto, nooo (uniteke, aaah baby nitekenye)

Macho yake lungu lungu akinitazama

Nami nageuka nungu nungu, miiba inasimama

Macho yake lungu lungu akinitazama

Nami nageuka nungu nungu, miiba inasimama

Eeh fanya wazi unachotaka

Zidisha kunipenda

Ila kuna paparazzi na Basata

Tusichapane madenda

Oooh, nakoma na zako

Kachiri kachiri, ukibinuka binuka

Eeeh, kivumbi na jasho

Wawili wawili, kwenye mashuka mashuka

Asa baby, niite (uniteke, unitekenye)

Nicheke kama mtoto (uniteke, aaah baby nitekenye)

Apo ndo penye (uniteke, unitekenye)

Ninenepe kama mpoto, nooo (uniteke, aaah baby nitekenye)

Asa baby, mi nataka nikukande

(Pindaa, pinda mgongo pinda)

Yaani pinda nikukande

(Pindaa, pinda mgongo pinda)

Unishikilie, nami nikugande

(Pindaa, pinda mgongo pinda)

Aah pinda pinda mgongo,

Ebu nipe nikukande

(Pindaa, pinda mgongo pinda)

Yaani nikukandeee...(chii chii)

  • Artist:Harmonize
  • Album:Afrobongo (EP) (2019)
See more
Harmonize more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:R&B/Soul
  • Official site:
  • Wiki:
Harmonize Lyrics more
Harmonize Featuring Lyrics more
Excellent recommendation
Popular
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved