Naolewa lyrics

Songs   2024-05-19 15:22:24

Naolewa lyrics

(Fraga got the recipe)

Waliniita kimbaumbau, kiguu na njia

Ila nikadharau, nikapuuzia

Leo kwao kafa nyau, yanawanukia

Kwetu twafinya pilau, yametimia

Oooh wanjara, walete bunyero ooh

Mi nataka kulimwaga razi (na makagheroo)

Waite na mapaparazi (wapate kero)

Wale wenye magho ya nazi (bando la jero)

Wapate vya kuperuzzi

Habari ziende kwa ma ex

Penzi waliodhulumu

Tena nimepata tetesi

Mmoja ataka kunywa sumu

Kisaa jamani kisaa

Nikauliza kisaa, kisa leo naolewa

Naolewa, naolewa mie (ooh sheba)

Naolewa, naolewa mie

Nilikosaga na dira kwa maneno ya waja

Oooh subira aaah, mbele inafaraja

Asa chereko, ngoma lipo uwanjanii

Mwali na mideko, kama nimetoka ngomani

Aii yuko wapi mamie mwali

Aje anibebe mgongoni

Amuite daddy mwali waje

Wayarudi ya msondondo

Bibi anacheka, zawadi kaleta

Na kitenge na mkeka

Na kibunda cha pesa

(Aaah aah aaah)

Habari ziende kwa ma ex

Penzi waliodhulumu

Tena nimepata tetesi

Mmoja ataka kunywa sumu

Kisaa jamani kisaa

Nikauliza kisaa, kisa leo naolewa

Naolewa, naolewa mie (ooh sheba)

Naolewa, naolewa mie

Sina sina makosa (mtoto wa mwenzio)

Sina sina makosa (utajiua)

Sina sina makosa (mtoto wa mwenzio)

Sina sina makosa (utajiua buree)

Buree, bureee...

See more
Ruby (Tanzania) more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:Folk
  • Official site:
  • Wiki:
Ruby (Tanzania) Lyrics more
Ruby (Tanzania) Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved