Niwaze lyrics

Songs   2024-05-19 15:49:11

Niwaze lyrics

Unasema unanipenda unangapi

Ndo vile ulinambia unaishi wapi

Pesa huma, una magari mangapi

We yako mapozi tu

Sa nikupeleke wapi

Basi imba nikusikie

Pengine utanivutia aaaah

Cheza kidogo ohoo ohoo

Imba nisikie

Pengine utanivutia aaah

Imba kidogo hee iyee

Acha niwaze (wazee)

Acha nikufikirie (wazee)

Acha niwaze (wazee)

Ohoo ohoo ooh

Acha niwaze (wazee)

Acha nikufikirie (wazee)

Acha niwaze (wazee)

Lipi niamue

[The Mafik]

Kitambo sina mkwanja unajua

Yaani kama mgambo gwanda langu sijivua!

Mapepe nishatupa kuleee kuleeee

Tangu enzi za shule kuee

Vicheche nishatupa kule kuleeeee

Nimekuchagua wewe uwe wangu nisikize

Wa milele tafadhari usiniumize!

Acha niwaze (wazee)

Acha nikufikirie (wazee)

Acha niwaze (wazee)

Ohoo ohoo ooh

Acha niwaze (wazee)

Acha nikufikirie (wazee)

Acha niwaze (wazee)

Lipi niamue eeeh hee

[The Mafik]

Yaani hata japo nikikujua jina kwangu sawa

Ila usizidishe ukaja nitoa dinner nitapagawa

Me mwenzako uvumilivu sina we hayaa

Nitakuganda kama ruba niwe wako Chawa

Kweli mapenzi ninayo

Pesa na mali sinaa aha

Ila ni maisha yapitayo

Kesho ntakua na jina jivungie

Urembo umepitiliza mungu kakubariki aiseee eehh iiih

Sijaona bee kama wewe haki yanani aiseee eeeh iyeee

Acha niwaze (wazee)

Acha nikufikirie (wazee)

Acha niwaze (wazee)

Ohoo ohoo ooh

Acha niwaze (wazee)

Acha nikufikirie (wazee)

Acha niwaze (wazee)

Lipi niamue eeehhh hee

Heee eeyeeee

Basi imba nikusikie pengine

Utanivutia aahh aa aah

Cheza kidogo ooh ohoo oo

Imba nisikie pengine utanivutia

Imba kidogo eeeh iyeah

See more
Ruby (Tanzania) more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:Folk
  • Official site:
  • Wiki:
Ruby (Tanzania) Lyrics more
Ruby (Tanzania) Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved