Kidonda Changu lyrics

Songs   2024-06-28 08:22:45

Kidonda Changu lyrics

Mazuu On The Beat!

Uh uh

Uh uh

Mmh!

Yale maneno matamu nikafikiri nyota njema

Mara asubuhi, asubuhi moyoni

Kumbe miale ya sumu ulikusudia kunichoma

Angali sijui, sijui kisa niii

Nimeamini penzi, penzi zigo la miba

Lishanichoma na kunipofua moyo (moyo moyo)

Bila ye siwezi mwenzenu napata shida

Amani sina kinauma kidonda changu

Kitachelewa (uh uh)

Kupona kitachelewa chelewaa

Sema kitachelewa sweetie

Kidonda changu

Kitachelewa (uh uh)

Kupona kitachelewa chelewaa

Sema kitachelewa sweetie

Yarabi moyo wangu

Yale mahaba ninyonge ntayamiss saana si unajua

Umenifanya nikonde shilingi sina ningenunua

Umenipora hata tonge angali shibe sina utaniua

Ningekunywaga na pombe, ila kichwa sina ningezimia

Nimeamini penzi, penzi zigo la miba

Lishanichoma na kunipofua moyo (moyo moyo)

Bila ye siwezi mwenzenu napata shida

Amani sina ninaugulia kidonda changu

Kitachelewa (uh uh)

Kupona kitachelewa chelewaa

Sema kitachelewa sweetie

Jamani kidonda changu

Kitachelewa (uh uh)

Kupona kitachelewa chelewaa

Sema kitachelewa sweetie

Yarabi moyo wangu

Mmh!

Na tena sipati usingizi (ai moyo, ai moyoo)

Ati kula mi siwezi (ai moyo, ai moyoo)

Tena nusu niwe chizi (ai moyo, ai moyoo)

Yote kisa mapenzi (ai moyo, ai moyoo)

Mazuuuuu (Record!)

Maximizer

Harmonize baby!

See more
Harmonize more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:R&B/Soul
  • Official site:
  • Wiki:
Harmonize Lyrics more
Harmonize Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved