Zungushie lyrics

Songs   2024-07-07 04:47:57

Zungushie lyrics

Nadia

Maua Sama

(Teddy B)

Unaipenda wapi sakafu ama juu kwa juu

Nikupe wapi mvunguni ama mtapanda juu

Walahi leo mpaka kilele (Mpaka kilele)

Nitampa nani kama si yeye (Kama si yeye?)

Nimekuwa na mgonjwa

Njoo kwangu nikupe dawa

Mganga toka Sumbawanga

Natibu mapenzi ndo mimi hapa

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)

Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)

Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Yaani mautamu

Yangu vinono anajinoma kwa mahaba

Mwalimu nampaga somo ndani

Mambo si haba

Amenipitisha, kanitikisa

Akinipa mwiba si nahama

Akinitouch na najimaliza

Kanifunga sitoki kwa mahaba

Kwa ubani nimzungushie

Yaani hata nazi mi nimvunjie

Nataka nimzungushie

Bigati the gati de nimzungushie

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)

Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)

Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Changanya kama karanga

Huyu ashafanikiwa

Ananifuata kama kuku

Kifaranga nimechanganyikiwa

Yaani kama unipeleke nyumbani

Unipe mapenzi sham sham

Mauno bila mifupa

Chumbani nikimnegua hadi tam tam yeah

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)

Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)

Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

See more
Nadia Mukami more
  • country:Kenya
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Nadia Mukami Lyrics more
Nadia Mukami Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved