Wangu lyrics

Songs   2024-07-07 05:03:10

Wangu lyrics

Nadia, Sana

(Alexis on the beat)

Wewe nani?

Unanipigia simu kama nani?

Ati niachane na mume wako nani

Unajua Nadia kweli mi ni nani

We ni nani?

Unampigia simu kama nani yeah

Hata utoe vya ndani

Atarudi hapa kwangu tu nyumbani

Anapenda vidogo dogo

Mwenzako anavimumunya

Mwanamke unapenda zogo

Tafuta jambo hilo la kufanya

Ooh ni wangu huyu nasema ni wangu

Ooh ni wangu kubali yaishe ni wangu

Ooh ni wangu huyu nasema ni wangu

Ooh ni wangu mwishowe ataisha ni wangu

Hivyo vi message na kuficha simu haivinushtui

Atachoka nawe mwengine aende huyo hakagui

Kelele ya chura haizui ng'ombe kunywa maji

Kwangu habanduki kwako hatoboki nakwama naye

Anapenda wife material

Mwenzako anakudanganya

Mwanamke una kasoro

Tafta jambo hilo la kufanya

Ohh ni wangu huyu nasema ni wangu ooh ni wangu

Mwishowe ataisha ni wangu

Ooh ni wangu huyu nasema ni wangu

Ooh ni wangu kubali yaishe ni wangu

Mi sitakoma koma koma koma

Mi sitakoma koma koma koma mama eee

Mi takukomboa komboa komboa komboa

Mi takukomboa kombo msichana we

Ooh ni wangu huyu anasema ni wangu

Ooh ni wangu mwishowe ataisha ni wangu

Ooh ni wangu huyu nasema ni wangu

Ooh ni wangu kubali yaishe ni wangu

Ooh ni wangu huyu anasema ni wangu

Ooh ni wangu mwishowe ataisha ni wangu

Ooh ni wangu huyu nasema ni wangu

Ooh ni wangu kubali yaishe ni wangu

See more
Nadia Mukami more
  • country:Kenya
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Nadia Mukami Lyrics more
Nadia Mukami Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved