Nilinde lyrics

Songs   2024-07-07 22:41:41

Nilinde lyrics

Mmmh mmmh, oooh ooh

Aiiiehh eeh eeeh

(Gachi beats)

Nawaza na sipati majibu

Mbona haya ni majaribu

Au Baba unanijaribu

Maana mi sipati jawabu ila

Labda langu ni dogo

Kuna makubwa ya wengine

Yaani kwa hiki kidogo

Nisikufuru na mengine

Mmmh kuna muda mi nakataga tamaa

Najiuliza lini nitasimama

Mbona mimi ni wa kushika tama

Mmmh

Si unajua maadui ni wengi

Kuna muda mi nawazaga mengi

Maana mambo yananoga

Labda wananiroga

Maana napiga zoga

Hadi napata uoga

Maana mambo yananoga

Labda wananiroga

Maana napiga zoga

Hadi napata uoga

Oooh Baba nilinde, Baba nilinde

Niepushe nikinge, simama nilinde

Basi Baba nilinde, Baba nilinde

Niepushe nikinge, simama nilinde

Mmmh...mmmh mmmh

Ayee ayee ayeee

Kuna muda nalia

Nikifikiria naona hili ni dogo

Maana kuna wasio na hatia

Na wamepotea wangali wadogo

Ila mimi napumua

Na pumzi silipii sasa nitake nini?

Ati nisipate matatizo milele

Kwani mi ni nani?

Si unajua maadui ni wengi

Kuna muda mi nawazaga mengi

Maana mambo yananoga

Labda wananiroga

Maana napiga zoga

Hadi napata uoga

Maana mambo yananoga

Labda wananiroga

Maana napiga zoga

Hadi napata uoga

Oooh Baba nilinde, Baba nilinde

Niepushe nikinge, simama nilinde

Basi Baba nilinde, Baba nilinde

Niepushe nikinge, simama nilinde

Baba nilinde, Baba nilinde

Baba nilinde, Baba nilinde

Baba nilinde, Baba nilinde

Baba nilinde, Baba nilinde

See more
Kusah more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Kusah Lyrics more
Kusah Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved