Yuda lyrics

Songs   2024-07-02 11:36:40

Yuda lyrics

(Kimambo on the Beat)

Nimemyosha wangu Yuda

Vyake vitamu najipakulia

Kungwi nimefundo

Wake ma ex ndo wanaumia

Walisema limevunda

Sasa jikoni ndo linanukia

Ye ndo wangu kiti

Tena hachoki nikimkalia

Na tena siku hizi nanenepa nanawiri

Yamenoga mapenzi na yameshamiri

Anipa vidogo na vikubwa tamu sio shubiri

Nyumbani kumenoga huniponza mwili

Ananilete chumbani, nikoleze wangu hunnie

Tunacheza kibaba mama, kibaba mama

Wakienda vitani sisi tuko nyumbani

Aniteach inama inama, inama inama

Naziwaume roho zao

Naziwaume roho zao

Naziwaume roho zao

Naziwaume roho zao

Kanipa sikio ananisikiliza

Malumbano ndani hana

Nimepitisha fagio na hawezi kuniliza

Mashindano ndani hana

Nimefundishwa na mama, kumlea bwana

Akitakaga nyama, nampaga na tena

Ananilete chumbani, nikoleze wangu hunnie

Tunacheza kibaba mama, kibaba mama

Wakienda vitani sisi tuko nyumbani

Aniteach inama inama, inama inama

Naziwaume roho zao

Naziwaume roho zao

Naziwaume roho zao

Naziwaume roho zao

  • Artist:Nandy
  • Album:Taste (EP) (2021)
See more
Nandy more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:Folk
  • Official site:
  • Wiki:
Nandy Lyrics more
Nandy Featuring Lyrics more
Nandy Also Performed Pyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved